moseslumole
Welcome to moses lumole blog
moses lumole blog
Sunday, September 4, 2016
Thursday, May 28, 2015
Wednesday, April 29, 2015
Picha za maajabu za matajiri katika falme za kiarabu (Dubai)
Je, wajua kuwa Dubai ni moja kati ya sehemu yenye vitu vingi vya kustaajabisha duniani?.
Dubai
ina maajabu mengi mazuri. Dubai ni moja kati ya falme zinazounda umoja wa falme
za kiarabu. Mazingira yake yamekua yakichangia kwa kiasi kikubwa kukua kwa
biashara. Hadi sasa Dubai imekua ikijulikana sana kwa kuwa na ushirikiano na
nchi mbalimbali.
Kati
ya karne ya 19 Dubai ilikuwa chini ya utawala wa waingereza. Dubai hadi sasa
wana haki ya kumiliki rasilimali zote walizonazo bila kushurutishwa na utawala
mwingine. Hapo mwanzoni Dubai ilitegemea sana rasilimali mafuta na gesi, lakini
leo hii wamejikita sana katika ufanyaji wa biashara ambazo ndio zimekuwa na
umuhimu kwao kuliko vingine na pia kuna bandari ambazo zipo kwenye kumi bora
duniani.
Katika
majira ya joto Dubai huwa katika hali ya nyuzi joto 40º na katika majira ya
baridi hali ya hewa hufikia 14º
Sedan Gold luxury car
Range rover Gold
Hizi
ni picha za kustaajabisha za matajiri huko Dubai, kwa hakika zitakusisimua
sana.
Tuesday, April 28, 2015
Monday, April 27, 2015
UFUGAJI WA KUKU: BANDA LA KUKU WA KIENYEJI
Sifa za banda bora la
Kuku
Ukiamua kufuga katika
banda kwa njia mbili zilizoelezwa awali utatakiwa kujenga banda lenye sifa
zitakazokidhi mahitaji ya msingi ya kuku. Banda bora la kuku linatakiwa kuwa
kama ifuatavyo: Ready more>>
Subscribe to:
Posts (Atom)